Sekta ya majani chai nchini imeonyesha ukuaji kwa kiasi kikubwa, ikiandikisha thamani ya Shilingi bilioni 218.79 sokoni katika bajeti ya mwaka uliopita.
Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) imewaonya wasafirishaji na wasindikaji wa parachichi kuwa kushughulikia matunda ambayo hayajakomaa kutasababisha kufutwa mara moja