OMTATA: KUNA SIRI NYINGI KATIKA MRADI WA KUPEANA JKIA KWA ADANI
Mwanaharakati Okiya Omtata ameibua madai kwamba mradi wa kukodisha uwanja wa ndege wa kimataifa JKIA ni sakata ambayo inakiuka sheria za miradi ya binafsi kati ya serikali ya kenya na mashirika ya binafsi.
Kulingana na Omtata wahusika walio kwenye stakabadhi za mkataba huo hawakuzingatia utaratibu unaopaswa kuzingatia na kwamba kuna siri nyingi katika mradi huo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































