#Local News

MTU MMOJA AMEFARIKI NA MWINGINE KUJERUHIWA BAADA YA WATU WENYE SILAHA KUVAMIA KIJIJI CHA GARISA

Makundi ya mashirika mengi yanachunguza tukio ambapo kundi la watu wenye silaha lilivamia mji wa Lagdera, Kaunti ya Garissa na kumuua mtu mmoja na mwingine kujeruhiwa katika shambulio hilo.

Kwa mujibu wa polisi Nia ya shambulio hilo katika mji wa Benane ilikuwa kulenga kundi la mifugo katika eneo hilo.

Kulingana na Wenyeji genge hilo lilitoroka na idadi isiyojulikana ya mifugo iliyojaa mvutano na hofu ya mashambulizi zaidi na uwezekano wa kulipiza kisasi.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *