#Local News

USIMAMIZI WA JKUAT, KU WAFIKA MBELE YA PIC

Usimamizi wa vyuo vikuu vya JKUAT na Kenyatta umekuwa na wakati mgumu kueleza jinsi fedha zilitumika vyuoni humo mbele ya kamati ya uwekezaji katika bunge la kitaifa, ubadhirifu wa fedha kwenye vyuo vikuu vya umma ukitajwa kuwa kikwazo kikuu katika uboreshaji wa vyuo hivyo.

Kamati hiyo inayoongozwa na mbunge wa Bumula Jack Wamboka, imeshinikiza uwazi katika matumizi ya fedha hizo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

USIMAMIZI WA JKUAT, KU WAFIKA MBELE YA PIC

ATHARI YA BEI YA JUU YA MAHINDI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *