#Local News

NILIPIGA KURA YA NDIO NA SIOMBI MSAMAHA; ALFRED KIPRONOH MUTAI ASEMA

Mbunge wa Kerosoi kaskazini Alfred Kipronoh Mutai amesema kwamba hataomba msamaha wakati wabunge wengine wanaendelea kuomba musamaha kufuatia hatua yao ya kuunga mkonoi mswada wa fedha 2024.

Korosoi ameendelea kukashifu uvamizi na uharibifu uluotekelezwa na waandamanaji katika makaazi ya wabunge wenzake

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *