#Local News

DIG LANGAT CHINI YA SHINIKIZO

Kamati ya usalama katika bunge la kitaifa imetoa shinikizo kwa naibu inspekta mkuu wa polisi Eliud Langat kujiuzulu kufuatia mauaji ya bloga Albert Ojwang, aliyekamatwa kwa madai ya kuchapisha taarifa za uongo kuhusu Langat kabla ya kifo chake.

Kamati hiyo imetaka kufanywa uchunguzi wa kina kuhusu mauaji hayo, ili kila afisa wa polisi aliyehusika awajibishwe kisheria, huku spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula, akiiagiza kamati hiyo kuwasilisha ripoti ya uchunguzi wa awali hapo kesho kabla ya kikao kuhusu bajeti kuanza.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

DIG LANGAT CHINI YA SHINIKIZO

POLISI WARUDISHIWA MZIGO WA MAUAJI

DIG LANGAT CHINI YA SHINIKIZO

MARAGA ATAKA KENYA KWANZA ING’OKE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *