#Local News

KASI MAHAKAMANI YAPUNGUA, KOOME

Huenda utoaji haki mahakamani ukatatizika kutokana na ukosefu wa fedha, jaji mkuu Martha Koome akisema mahakama hazina uwezo wa kutekeleza majukumu yake kikamilifu baada ya mgao wa mwaka wa kifedha wa 2024-25 kupunguzwa.

Akizungumza katika mkutano na mabalozi na wawakilishi wa mataifa ya kigeni, Koome amesema kasi ya utoaji huduma imepungua kufuatia kupunguzwa kwa bajeti.

Idara hiyo imetengewa shilingi bilioni 21.6 kinyume na shilingi bilioni 44.9 iliyokuwa ikihitaji.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KASI MAHAKAMANI YAPUNGUA, KOOME

WAKENYA KUTOA SAUTI KUHUSU ADANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *