#uncategorized

MTOTO WA MIAKA MIWILI APATIKANA AKIWA AMEKUFA ENEO LA GATHARAINI KASARANI

Polisi wanachunguza kifo cha mtoto wa miaka 2 ambaye mwili wake umepatikana kando ya mto Gatharaini eneo la Kasarani jijini Nairobi.


Inaarifiwa kuwa mwili huo umepatikana na mkaazi mmoja wa eneo hilo alipokuwa akisafisha mtaro wa maji.


Mwili wa mtoto huyo umepelekwa katika hifadhi ya maiti ya city ukisubiri kufanyiwa upasuaji.

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *