EPL: MAN U KUTOANA KIJASHO NA CHELSEA, ARSENAL KUKAZA NATI DHIDI YA MAN CITY

Ligi kuu ya uingereza inarejea wikendi hii kwa kishindo huku mbio za ubingwa zitazamiwa kuamuliwa. Hapo kesho Brentford watakua mbioni kusaka nafasi za ulaya wakiwakaribisha Fulham, Leeds wavaane na Wolves, Newcastle wakaribishe Bournemouth huku Tottenham wakipambana kujikwamua dhidi ya kushushwa daraja watakapomenyana na Brighton. Saa nne mechi kali ya siku itawahusisha Chelsea wakiwa Stamford Bridge […]

SHUJAA WAANGUKIA AUSTRALIA KWENYE MECHI YA UFUNGUZI

Timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba Shujaa imeanza kampeni yake ya Hong Kong kwa kichapo cha alama kumi na nne kwa tano dhidi ya Australia katika mechi ya Kundi C iliyoonyesha mapungufu ya ulinzi pamoja na dalili za matumaini Australia walianza kwa kasi wakipata majaribio mawili ya haraka kupitia Josh Turner na James […]

MBIO ZA UBINGWA ZAZIDI KUPAMBA MOTO LIGI KUU

Mbio za ubingwa wa ligi kuu ya Kenya zinaingia hatua muhimu mwishoni mwa wiki hii huku mechi za ushindani mkali zikitarajiwa kuamua mwelekeo wa msimamo wa ligi AFC Leopards watachuana na mabingwa watetezi Kenya Police huku Gor Mahia wakipambana na Bandari walio katika kiwango kizuri hali inayoongeza presha kwa timu zinazowania ubingwa Ushindi wa hivi […]

KAKAMEGA HIGH WAJIPANGA KWA MASHINDANO YA RAGA YA WACHEZAJI SABA

Kocha mkuu wa raga wa shule ya Kakamega High Amos Wamanga amesema timu hiyo sasa imehamisha mwelekeo wake kuelekea mashindano ya wachezaji saba baada ya kumaliza katika nafasi ya nne kwenye mashindano ya kitaifa ya wachezaji kumi na watano Wamanga amesema timu ilijitahidi kadri ya uwezo wao katika mashindano hayo na kueleza kuridhishwa na kujituma […]

POLISI WAKAMATA WAHUNI ZAIDI YA 80 NAIROBI

Takriban wahuni themanini na wanne wamekamatwa katika oparesheni za polisi zilizotekelezwa katika wiki za hivi karibuni jijini Nairobi huku juhudi za kudhibiti uhalifu zikiongezwa Kamanda wa polisi kanda ya Nairobi Issa Mohamud amesema wameimarisha doria zinazoongozwa na taarifa za kiintelijensia ili kukabiliana na vitendo vya uhalifu vinavyoendelea jijini Ameonya kuwa hawatavumilia matumizi ya wahuni kutisha […]

DUALE AONYA HOSPITALI KUHUSU ULAGHAI WA SHA

Waziri wa Afya Aden Duale ameonya vituo vya afya vinavyoshiriki katika mpango wa mamlaka ya afya ya jamii akisema vitakavyohusika na vitendo vya ulaghai vitafutiwa mikataba mara moja Akizungumza katika hospitali ya rufaa ya kaunti ya Bungoma Duale amesema mageuzi ya kidijitali yanayoendelea yanalenga kuimarisha uwazi uwajibikaji na utoaji wa huduma bora huku akiwataka wasimamizi […]

POLISI NAIROBI WAKATAA MAANDAMANO YALIYOPANGWA

Kamanda wa polisi jijini Nairobi Issa Mohamud amesema maandamano yaliyopangwa kufanyika Jumanne Aprili ishirini na moja hayatambuliwi kisheria kwa kuwa Hakuna taarifa rasmi iliyowasilishwa kwa Huduma ya Polisi nchini Kauli hiyo inajiri kufuatia malalamishi ya Wakenya mtandaoni kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta ambapo baadhi yao walikuwa wameitisha maandamano kupitia jumbe zilizosambaa katika mitandao ya kijamii […]

WANAFUNZI WA UON WAPINGA MAANDAMANO YA UPINZANI.

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi wamepinga hoja ya maandamano ya viongozi wa upinzani kulalamikia bei ya mafuta. Wanfunzi hao wamesema kuwa bei ya mafuta haijaathiriwa humu nchini pekee bali pia ni mfumuko ambao umeathiri dunia kiujumla Aidha wamewataka viongozi kutotumia kupanda kwa bei ya mafuta kujinufaisha kisiasa huku wakisema maandamano sio suluhisho. Imetayarishwa na […]

CITY YATHIBITISHA SILVA KUONDOKA ETIHAD

Klabu ya Manchester City imetangaza kwamba nahodha wake Bernardo Silva ataondoka mwishoni mwa msimu huu kandarasi yake itakapokamilika. Silva mwenye umri wa miaka 31, alijiunga na City kwa kima cha pauni milioni 43 mwaka 2017 akitokea klabu ya Monaco nchini Ufaransa, na ameichezea klabu hiyo zaidi ya mechi 450 chini ya meneja Pep Guardiola na […]

VILLA WAITANDAZA BOLOGNA KUWEKA MIADI NA FOREST

Klabu ya Aston Villa ilijikatia tiketi ya nusu fainali ya michuano ya UEFA UROPA League ambako watamenya na Nottingham Forest katika pambano litakalokutanisha klabu hizo za EPL baadaye mwezi huu. Hii ni kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Bologna jana usiku na kufikisha ushindi wa jumla ya mabao 7-1 kutokana na ushindi wa mabao […]