EPL: MAN U KUTOANA KIJASHO NA CHELSEA, ARSENAL KUKAZA NATI DHIDI YA MAN CITY
Ligi kuu ya uingereza inarejea wikendi hii kwa kishindo huku mbio za ubingwa zitazamiwa kuamuliwa. Hapo kesho Brentford watakua mbioni kusaka nafasi za ulaya wakiwakaribisha Fulham, Leeds wavaane na Wolves, Newcastle wakaribishe Bournemouth huku Tottenham wakipambana kujikwamua dhidi ya kushushwa daraja watakapomenyana na Brighton. Saa nne mechi kali ya siku itawahusisha Chelsea wakiwa Stamford Bridge […]
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































