SEKTA YA MIFUGO KUNUFAIKA KUPITIA MPANGO WA DRIVE
Sekta ya mifugo nchini imepata afueni baada ya Mpango wa DRIVE kutenga shilingi milioni 519 ili kupunguza hatari za ufugaji na kuongeza ushirikishaji wa jamii katika kuongeza thamani ya bidhaa za mifugo. Mpango huu unaoongozwa na Shirika la Maendeleo la Kenya (KDC) kwa usaidizi wa Benki ya Dunia, umezinduliwa jijini Nairobi katika mkutano wa wadau […]