#Local News

HASARA YA MAMILIONI KUFUATIA MOTO KIAMBU

Polisi mjini Kiambu wanaendeleza uchunguzi katika mkasa wa moto ulioteketeza Zaidi ya nyumba 50 mjini humo na kuwaacha mamia ya wafanyabiashara wakikadiria hasara ya mamilioni ya pesa usiku wa kuamkia leo.

Wengi wa waathiriwa ni wamiliki wa eneo hilo na wachuuzi ambao huweka bidhaa zao katika nyumba hizo, ingawa hakuna majeraha yaliyoripotiwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

HASARA YA MAMILIONI KUFUATIA MOTO KIAMBU

WAKAZI WA, SUNA MASHARIKI, WALALAMIKIA ONGEZEKO LA

HASARA YA MAMILIONI KUFUATIA MOTO KIAMBU

MGOMO WA MADAKTARI WANUKIA KERICHO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *