HASARA YA MAMILIONI KUFUATIA MOTO KIAMBU
Polisi mjini Kiambu wanaendeleza uchunguzi katika mkasa wa moto ulioteketeza Zaidi ya nyumba 50 mjini humo na kuwaacha mamia ya wafanyabiashara wakikadiria hasara ya mamilioni ya pesa usiku wa kuamkia leo.
Wengi wa waathiriwa ni wamiliki wa eneo hilo na wachuuzi ambao huweka bidhaa zao katika nyumba hizo, ingawa hakuna majeraha yaliyoripotiwa.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































