#Local News

CHIFU AKAMATWA GARISSA KWA KUCHUKUA HONGO

Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imemkamata chifu katika Kaunti ya Garissa kwa madai ya kuwaibia wakimbizi wanaotafuta huduma katika afisi yake.

Katika taarifa EACC jana Jumanne ilisema kwamba Abdirahman Shafe Yussuf, Chifu wa eneo la Bulla Mzuri, amekuwa akidai hongo kutoka kwa wakimbizi katika mchakato unaoendelea wa kufuta alama za vidole kutoka kwa mfumo wa UNHCR.

Imetayarishwa na Janice Marete.

CHIFU AKAMATWA GARISSA KWA KUCHUKUA HONGO

MAREKANI YATOA MSAADA WA SODO 860,00 KWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *