KINDIKI:DARAJA LA NITHI KUJENGWA KWA UFADHILI WA CHINA
Wakazi wa eneo la Nithi, Kaunti ya Tharaka Nithi, wanatarajiwa kunufaika na mradi wa ujenzi wa daraja la Nithi, ambao utaendeshwa na serikali kuu.
Kwa mujibu wa Naibu Rais, Prof. Abraham Kindiki, serikali imekamilisha mipango ya kuanza ujenzi huo baada ya kupata ufadhili kutoka kwa serikali ya China.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































