RAIS RUTO KULIHUTUBIA TAIFA SAA SABA MCHANA

Rais William Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa saa saba alasiri ya leo.
Kulingana na Katibu katika wizara ya mawasiliano ya Ikulu Emmanuel Talam, Rais atahutubia taifa kutoka Ikulu ya Nairobi saa saba kabla ya mazungumzo ya Ruto X-Space na Gen Zs.
Imetayarishwa na Janice Marete