GACHAGUA AFUFUA UPYA MDAHALO WA MGAO WA FEDHA WA ONE MAN ONE VOTE ONE SHILLING

Naibu wa rais Rigathi Gachagua amefufua upya mdahalo kuhusu mgao wa fedha za kitaifa akisema maeneo yenye watu wengi yanastahili kupata mgao zaidi kwa mujibu wa mfumo 1man 1 vote 1 shilling.
Kwa mujibu wa gachagua baadhi ya maeneo bunge hasa mlima kenya yana idadi kubwa ya watu ilhali yanatengewa mgao mdogo Zaidi.
English 










































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































