#Local News

RAILA ALICHUKUA UAMUZI WA BUSARA

Viongozi wa chama cha ODM katika kaunti za Transnzoia Busia, kakamega, Vihiga na Bungoma wametetea uamuzi uliofanywa na kiongozi wa chama hicho raila Raila Odinga wa kushirikiana na serikali wakisema kuwa ni wa busara na wala sio wa kujinufaisha binafsi kwa kuwa kulingana nao Odinga ameokoa taifa la Kenya kutoshuhudia machafuko.

Imetayarishwa na Janice Marete

RAILA ALICHUKUA UAMUZI WA BUSARA

HATO APATIKANA

RAILA ALICHUKUA UAMUZI WA BUSARA

SIMIYU; RAILA SIO MSALITI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *