#Local News

UKAGUZI WA DETA MARIGO-INN

Zoezi la kukusanya na kukagua deta za wakazi wa mtaa wa Maringo-inn  eneo la Nairobi South linatarajiwa kuanza wikendi hii, zoezi likijiri wakati ambapo wakazi wametakiwa kuondoka mtaani humo kwa muda ili kuruhusu ujenzi wa makazi ya bei nafuu.

Afisa katika idara ya ujenzi katika serikali kuu Gabriel Muli anayeongoeza zoezi hilo hata hivyo amewahakikishia wakazi kwamba serikali itawafidia ipasavyo.

Naye mwakilishi wa wadi ya Nairobi South Waithera Chege amewataka wakazi kukumbatia mradi huo anaosema utawafaa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UKAGUZI WA DETA MARIGO-INN

DEBRA; TUTAKAGUA SHIF KABLA ZA KUTUMIKA

UKAGUZI WA DETA MARIGO-INN

KITHURE AWARUKA POLISI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *