#Local News

WAKENYA WATAKIWA KUWASILISHA MAOMBI YA KAZI ILI KUPATA AJIRA UJERUMANI

Wakenya ambao wana taaluma na ambao wangependa kufanya kazi nje ya nchi wametakiwa kutuma maombi yao ya kazi.

Katibu katika wizara ya maswala ya kigeni Roseline Njogu ameutetea mpango wa serikali wa kuwatuma wakenya kufanya kazi ugaibuni.

Akitoa maelezo zaidi kuhusu mkataba wa kenya na ujerumani Njogu amesema kuwa wakenya wataonufaika kwa kupata ajira ujerumani ni wale wenye taaluma na kwamba watahitajika kutuma maombi kwanza.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAKENYA WATAKIWA KUWASILISHA MAOMBI YA KAZI ILI KUPATA AJIRA UJERUMANI

MWANAMKE MWENYE UMRI WA MIAKA 21 AKAMATWA

WAKENYA WATAKIWA KUWASILISHA MAOMBI YA KAZI ILI KUPATA AJIRA UJERUMANI

EKURU: HUENDA GACHAGUA AKATEMWA 2027

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *