#Local News

WAZIRI WA ELIMU MACHOGU AAGIZA HELB KUFUNGUA TOVUTI YA UFADHILI KWA WANAFUNZI KUTUMA MAOMBI

Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu ameamuru Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELB) na Hazina ya Vyuo Vikuu (UF) kufungua tovuti ya ufadhili kuanzia Juni 15, ili kuruhusu wanafunzi wanaohitimu kutuma maombi yao

Amri hiyo inajiri baada ya Rais William Ruto mwezi Mei kutambulisha muundo mpya wa ufadhili kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na na vyuo vya kiufundi TVET nchini Kenya, kufuatia mashauriano ya kitaifa yaliyofanywa na Chama cha Rais kuhusu Marekebisho ya Elimu.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAZIRI WA ELIMU MACHOGU AAGIZA HELB KUFUNGUA TOVUTI YA UFADHILI KWA WANAFUNZI KUTUMA MAOMBI

MUSTAKABALI WA LUKAKU NDANI YA CHELSEA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *