#Local News

SHULE KULAZIMIKA KUFUNGA MAPEMA

Masomo katika shule za umma nchini yatalazimika kukatizwa mapema muhula huu kutoka na uhaba wa fedha, wakuu wa shule hizo wakisema hawana uwezo wa kuziendesha shule baada ya serikali kukosa kutuma mgao wa masomo.

Changamoto za kifedha shuleni zimesababishwa na mgao kupunguzwa, kucheleweshwa au hata kutotumwa kwa shule ili kufanikisha shughuli za kila siku.

Katika kikao na wanahabari, muungano wa KUPPET umeonya kuwa huenda wazazi wakalazimika kulipa karo ya ziada muhula ujao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SHULE KULAZIMIKA KUFUNGA MAPEMA

UJUMBE WA RUTO KWA WAKOSOAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *