#Local News

BABU OWINO, WEZAKE 6 WAONDOLEWA MASHTAKA

Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino na washtakiwa wenza 6 ambao ni Calvina Okoth maarufu kama Gaucho, Tom Ong’udi, Michael Omondi, Pascal Ouma, Kevin Wambo na Willys Baraka, wamepata afueni baada ya mahakama jijini Nairobi kukubali ombi la mkuu wa mashtaka ya umma kuwaondolea kesi ya uhalifu

Kwenye uamuzi huo, hakimu mkuu wa mahakama ya Milimani Lucas Onyina, amekiri kupitia ombi hilo kabla ya kukubali kuondoa kesi hiyo

Babu na wenzake walishtakiwa mwaka jana na mashtaka ya njama ya kutaka kuzua vurugu wakati wa maandamano yaliyoandaliwa na muungano wa Azimio.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

BABU OWINO, WEZAKE 6 WAONDOLEWA MASHTAKA

SARAFU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *