#Local News

KAWI GHALI YAATHIRI AFYA, KILIMO

Kongamano la mawaziri wa kawi kutoka kaunti zote 47 linaendelea kwa siku yake ya pili katika kaunti ya Makueni huku gavana wa kaunti hiyo Mutula Kilonzo Junior akisema kwamba gharama ya kawi ni ya juu, na kwamba imeathiri utendakazi wa serikali hizo.

Kongamano hilo linalenga kujadili mwafaka kuhusu kawi safi nay a bei nafuu ili kupunguza gharama ya utengenezaji wa bidhaa na uendeshaji wa shughuli za kaunti.

Kulingana na gavana huyo, gharama ya kawi imeathiri hasa sekta ya afya na ile ya kilimo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KAWI GHALI YAATHIRI AFYA, KILIMO

MGOMO: WAKAZI WA KISII WAPATA AFUENI

KAWI GHALI YAATHIRI AFYA, KILIMO

SHA YAPIGWA JEKI NA KEMSA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *