#Sports

MWONDOANO WA CAF KUCHEZWA MOROCCO

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetangaza kwamba mashindano ya mwondoano kwa timu 4 zitakazomaliza katika nafasi ya pili bora kutoka makundi yote 9 kwenye kinyang’anyiro cha kufuzu kombe la dunia yaani playoff yataandaliwa nchini Morocco kuanzia tarehe 13 hadi 16 mwezi ujao.

Mshindi wa mashindano hayo atashiriki awamu ya mwondoano ya mabara ili kusaka tiketi ya kufuzu kombe hilo litakaloandaliwa katika mataifa ya MArekani, Mexico na Canada.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MWONDOANO WA CAF KUCHEZWA MOROCCO

KAMPENI YA CAF KUKAMILIKA KESHO

MWONDOANO WA CAF KUCHEZWA MOROCCO

HAALAND AVUNJA REKODI ZAIDI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *