WHO: WATU 3000 HUFARIKI KILA SIKU KATIKA AJALI ZA BARABARANI
Utafiti uliofanya na shirika la afya duniani WHO unaonyesha kuwa zaidi ya watu 3000 hupoteza Maisha kutokana na ajali za barabarani kila siku.
WHO imetoa wito kwa watu wote duniani kuwaunga mkono waliofiwa na wale wanaopatwa na kiwewe cha kisaikolojia cha mda mrefu kutokana na ajali hizo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































