SISI PIA NI WAKENYA ; VIONGOZI KAKAMEGA WAMWAMBIA KAHIGA
Baadhi ya viongozi wa kaunti ya Kakamega wamekosoa matamshi ya gavana wa kakamega Mutahi Kahiga kuwa serikali hya kenya kwanza ilifanya makosa kulipa deni la shilingi bilioni 117 kwa wakulima wa miwa licha ya wakaazi wa eneo la magharibi kutochangia katika ushindi wake katika uchaguzi wa 2022.
Kwa mujibu wa viongozi hao matamshi ya Kahiga yanaweza kuleta mgawanyiko kwa wakenya.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































