#Local News

KENYA YAPTA HOLIDEI MPYA

Rais William Ruto amechapisha rasmi tarehe 27 mwezi Agosti kuwa siku ya kusherehekea katiba yaani Katiba Day, hafla itakayokuwa ikiadhimishwa kila mwaka kuadhimisha kupitishwa kwa katiba ya mwaka 2010.

Kupitia tangazo hii leo, Ruto amesema siku hiyo itakuwa ikiadhimishwa ili kuwakumbusha wakenya kuhusu wajibu wao wa kuidumisha, kulinda na kutekeleza katiba hiyo.

Maadhimisho ya kwanza ya sherehe hiyo yatafanyika tarehe 27 mwezi huu ambayo Jumatano wiki hii.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KENYA YAPTA HOLIDEI MPYA

MALKIA MBIONI KUREJESHA MATUMAINI

KENYA YAPTA HOLIDEI MPYA

WAKULIMA WAKWEPA MIKOPO RASMI- RIPOTI.

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *