CAS, WASHAURI WACHONGWA
Ni rasmi kwamba makatibu waandamizi ama CAS hawataajiriwa chini ya serikali ya sasa, rais William Ruto akiweka wazi kwamba hatua hiyo imechukuliwa kupunguza matumizi ya fedha za umma.
Wengine ambao wameathirika ni washauri wa Rais ambao watapunguzwa kwa asilimia 50, saw ana kuondolewa kwa bajeti katika afisi za mke wa rais na Naibu wake, na yule wa mkuu wa mawaziri
Aidha, wafanyakazi wote wa serikali wanaofikisha umri wa miaka 60 watastaafishwa mara moja
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































