#uncategorized

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA BUNGOMA

Watu watano wamefariki dunia baadaa ya jumba kuporomoka kaunti ya Bungomana huku wengine kadhaa wakihofiwa kukwamba ndani ya vifusi vya jengo hilo.


Jumba hilo lilikuwa likibomolewa na serikali ya kaunti ya Bungoma kutoa nafasi ya upanuzi wa uwanja wa Masinde Muliru.

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *