#Local News

MAHAKAMA YAIDHINISHA KUONDOLEWA KWA SPIKA NYAMIRA

Aliyekuwa spika wa bunge la Nyamira Enock Okero aliondolewa afisini kisheria kulingana na uamuzi wa mahakama ambayo imetupilia mbali notisi zote zilikuwa zimetolewa na Okero.

Jaji wa mahakama kuu ya Bomet Julius Ng’aring’ari anasema vigezo vyote vya sheria vilizingatiwa wakati wa kubanduliwa kwake afisini.

Nafasi yake ilichukuliwa na mwakilishi wa wadi ya Ekerenyo Thaddeus Nyabaro.

Imetayarishwa na Maureen Makhobe

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *