#uncategorized

RUTO AWASIFIA MAKURUTU WA KIJESHI

Rais William Ruto ameongoza gwaride la kufuzu kwa makurutu wa jeshi katika chuo cha kutoa mafunzo ya kijeshi mjini Eldoret, ambako amewataka makurutu hao kujitolea kazini.

Makurutu hao wamepitia mafunzo kwa kipindi cha miezi sita, Rais Ruto akihoji mafunzo hayo yamewaandaa ipasavyo kwa ajili ya mkajukumu yao.

Imetayarishwa na: Antony Nyongesa

KALONZO AWAONYA WABUNGE WA AZIMIO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *