WAACHENI WAKENYA HAI, KK YAAMBIWA
Waziri wa afya Aden Duale ameendelea kujipata chini ya shinikizo za kumtaka ajiuzulu kuhusu madai ya ufisadi katika bima ya afya SHA mbali na kudorora kwa sekta ya afya nchini.
Wabunge wa upinzani wanaogemea vuguvu la Kenya Mpya, wamekariri kuwa ni sharti Duale aondoke afisini la sivyo wawasilishe hoja ya kumtimua bungeni.
Hata hivyo, Duale ametetewa na wabunge wanaoegemea mrengo wa serikali, wanaomtaka akaze Kamba katika kuwakabili wanaoipunja bima hiyo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































