#Local News

SERIKALI YAWATAKA WADAU KULINDA HADHI YA KCSE

Serikali imeendelea kuwataka walimu wakuu na wasimamizi wa mtihani wa kitaifa inayoendelea kuwa makini na kuzuia udanganyifu ili kulinda hadhi ya mtihani huo.

Akizungumza katika eneo la Kikuyu, katibu katika wizara ya elimu Belio Kipsang’ amewaonya wakurugenzi wa shule za kibinafsi dhidi ya kuwasaidia watahiniwa kushiriki udanganyifu akisema watachukuliwa hatua za kisheria.

Aidha, ameahidi kupunguza idadi ya maafisa wa polisi wanaosimamia mtihani huo ili kuwaondolea hofu watahiniwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SERIKALI YAWATAKA WADAU KULINDA HADHI YA KCSE

BADO MAPAMBANO, WAHADHIRI

SERIKALI YAWATAKA WADAU KULINDA HADHI YA KCSE

OBADO BADO AKANA, KESI KUAMULIWA MWAKANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *