#Local News

WAHADHIRI WATISHIA KUVURUGA SULUHU

Mgomo wa wahadhiri umeingia siku ya 21 hii leo huku wahadhiri wakishinikilia kuwa hawatarejea kazini hadi serikali itakapowalipa deni lao la shilingi bilioni 7.9 walizokubaliana kwenye mkataba wa maelewano yaani CBA ya mwaka wa 2017-21.

Wahadhiri hao walioandamana hapo jana hadi katika majengo ya bunge, wizara ya elimu na ile ya fedha, wamesema mkutano uliopangwa hii leo kusaka suluhu utasambaratishwa iwapo serikali itapendekeza mabadiliko kufanywa.

Wanafunzi pia wameonya kujiunga na wahadhiri wao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAHADHIRI WATISHIA KUVURUGA SULUHU

KENYA YAVUKA MIPAKA YA DENI

WAHADHIRI WATISHIA KUVURUGA SULUHU

KIPENGA CHA KAMPENI CHAPULIZWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *