BARABARA ZOTE ZINAZOELEKEA IKULU YA NAIROBI ZAFUNGWA

Barabara zote zinazoelekea Ikulu ya Nairobi, zimesalia kufungwa huku maandamano yakianza katika baadhi ya miji nchini huku Milango yote kuu ya ikulu ya nairobi ikisalia kufungwa.
Imetayarishwa na Janice Marete