ELDORET JIJI RASMI
Ni rasmi sasa kwamba Kenya ina miji mitano, baada yam ji wa Eldoret kupandishwa hadhi na kuwa jiji na hivyo kujiunga na Nairobi, Mombasa, Kisumu na Nakuru.
Hafla hiyo imeongozwa na Rais William Ruto ambaye ametia sahihi muhuri wa umma yaani public seal kama sehemu ya kupandisha hadhi mji huo na kuwa jiji.
Baadaye, rais ametangaza rasmi Eldoret kutoka kiwango cha manispaa na kuwa jiji.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































