MZOZO KATI YA WIZARA YA LEBA NA COTU
Mzozo mkali umezuka kati ya muungano wa vyama vya wafanyikiazi (COTU) na wizara ya leba kuhusu mipango ya kuwarejesha nyumbani mamia ya wafanyikazi katika viwanda vinne vya sukari vinavyomilikiwa na serikali.
Kupitia barua kati ya COTU ,serikali na viwanda hivyo inaonyesha mgawanyiko kati ya vikundi hivyo.
Hata hivyo waziri wa leba alfred mutua anatarajiwa kutoa jibu lake kuhusiana na maamuzi ya COTU.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































