#Local News

RUTO ATARAJIWA KUUNGUA RASMI SHEREHE ZA KITAMADUNI KAUNTI YA SAMBURU

Rais William Ruto anatarajiwa kufungua sherehe za kitamaduni za jamii ya Maa katika kaunti ya Samburu.

Viongozi mbali mbali wa jamii hiyo wakizungumza kwenye sherehe hizo ambazo zinaendelea wamewalaumu wazazi na walezi kwa kutowafunza wanao mil ana desturi za jamii hiyo.

Viongozi hao wamesema kuwa licha ya kuzingatia elimu na teknolojia ya sasa ni vyema kuzingatia mil ana desturi za waafrika.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *