#Local News

DEBRA; TUTAKAGUA SHIF KABLA ZA KUTUMIKA

Debra Mulongo Barasa waziri mteule wa Afya akiwa mbele ya kamati ya uteuzi ya bunge la kitaifa amesema kuwa pana haja ya kutathmini upya kwa mpango wa afya ya jamii SHIF kabla ya kutekelezwa kwake.

Mulongo aidha ameahidi kuwa kutakuwepo uwajibikaji iwapo atahidhinishwa kuhudumu katika wizara hiyo ya Afya

Imetayarishwa na Janice Marete

DEBRA; TUTAKAGUA SHIF KABLA ZA KUTUMIKA

WALIMU 1,200 WA CHEKECHEA WAPATA AJIRA YA

DEBRA; TUTAKAGUA SHIF KABLA ZA KUTUMIKA

UKAGUZI WA DETA MARIGO-INN

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *