#Local News

MSICHANA WA MIAKA 18 AJIUA KISUMU

Maafisa wa polisi eneo la Muhoroni kaunti ya kisumu wanachunguza kisa ambapo msichana mmoja amejitoa uhai kwa kujinyonga.

Mwili wa msichana huyo mwenye umri wa miaka 18 umepatikana na majirani ukininginia kwenye paa la nyumba yao , polisi wameuondoa mwili huo katika eneo la tukio na kuupeleka katika hifadhi ya maiti ukisubiri k,ufanyiwa upasuaji ili kubaini chanzo cha kifo chake.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *