#Local News

WIZARA YAWATAKA WAZAZI KUKUMBATIA CHANJO

Katibu mkuu katika wizara ya afya Dakta Ouma Oluga, amewataka wakenya kuhakikisha wanapokea chanjo inayoendelea kutolewa dhidi ya homa ya tumbo na ukambi kwenye zoezi ambalo limeratibiwa kukamilika hapo kesho.

Oluga amekuwa akizungumza Kisumu ambako amewataka wazazi kupuuza alichokitaja kuwa propaganda inayotolewa kuhusiana na chanjo hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WIZARA YAWATAKA WAZAZI KUKUMBATIA CHANJO

ONDOA NYASI YAZINDULIWA WEST POKOT

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *