#Business #Local News

BEI YA MAFUTA KUONGEZEKA KWA 80%

Watengenezaji wa mafuta ya kupika wameonya kuongeza bei ya bidhaa hiyo kwa hadi asilimia 80 ikiwa mswada wa kifedha wa mwaka 2024-25 utapitishwa bila marekebisho.

Katika taarifa kwa vyombo vya habari, chama cha watengezaji wa mafuta ya kupika nchini wameomba kuondolewa kwa kipengee kinachopendekeza kodi ya asilimia 25 kwa uagizaji wa bidhaa hiyo.

Kwa mujibu wa chama hicho, gharama ya utengenezaji wa mafuta itapanda kwa asilimia 80 

Imetayarishwa na: Antony Nyongesa

GACHAGUA AAPA KUUNGANISHA MLIMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *