#Local News

MASHIRIKA YALALAMIKIA ONGEZEKO LA MIKOPO

Zaidi ya nusu ya mapato ya taifa hutumika kulipia madeni na hivyo kuacha nje sekta muhimu za uchumi wa taifa.

Haya ni kwa mujibu wa shirika la Okoa Uchumi, likisema shilingi 7 kati ya 10 hulipa madeni, huku likiongeza kuwa mikopo ya ndani imekuwa rahisi kufujwa kutokana na ukosefu wa ufuatiliaji.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MASHIRIKA YALALAMIKIA ONGEZEKO LA MIKOPO

ODM: BABA YUKO SAWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *