#Local News

KAUNTI ZAPUNGUZIWA MGAOMGAOKAUNTI ZAPUNGUZIWA MGAO

Huduma muhimu katika ngazi za kaunti zinatazamiwa kuathiriwa na hasara ya bilioni 13.5 zilizokuwa zimetengewa kauni za ugavi wa mapato.

Kwa mujibu wa mwenyekiti wa baraza la magavana Ahmed Abdulahi serikali za kaunti zitatatizika kuafikia makubaliano muhimu ikiwa ni Pamoja na CBA ya madaktari iliyotiwa Saini nao baada yao kusitisha mgomo wao ikibainika kuwa fedha zilizokusudiwa kwa zoezi hilo kwa sasa zimeondolewa.

Imetayarishwa na Janice Marete

KAUNTI ZAPUNGUZIWA MGAOMGAOKAUNTI ZAPUNGUZIWA MGAO

RUTO AAGIZA KUSITISHWA KWA USHIRIKIANO NA ADANI

KAUNTI ZAPUNGUZIWA MGAOMGAOKAUNTI ZAPUNGUZIWA MGAO

KMA YATOA MAKATAA KWA SERIKALI KUTATUA MZOZO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *