IEBC YATAKIWA KUWAHAMASISHA WAPIGA KURA
Baadhi ya wakenya wameitaka tume ya IEBC kutoa hamasisho kwa wakenya kuhusu umuhimu wa kupiga kura ili kuhakikisha kuwa idadi kubwa inafahamu na kujitokeza kusajiliwa kama wapiga kura kwneye zoezi linaloendelea nchini.
Hii ni baada ya idadi ndogo kujitokeza, vingi vya vituo vya usajili vikirekodi chini ya watu 10 kwa siku wanaojitokeza.
Hata hivyo, IEBC imewataka wakenya kukusanya vitambulisho vilivyo tayari.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































