#Local News

MAHAMKAMA YA UPEO YAATHIMISHA MIAKA 12 TANGU KUZINDULIWA NCHINI

Idara ya mahakama inaathimisha miaka 12 tangu kuzinduliwa kwake hasa mahakama ya upeo nchini
Kulingana na jaji mkuu Martha Koome mahakama ya upeo imekuwa na nafasi kubwa katika kulinda katiba na vile vile kuhakikisha wakenya wanapata haki.

Akitoa hotuba yake katika kongamano la kuathimisha mi9aka 12 linalofanyika katika ikulu ya Nairobi Koome aidha amezungumzia mchango wa idara ya mahakama katika kushughulikia kesi za uchaguzi.

Imetayarishwa na Janice Marete

MAHAMKAMA YA UPEO YAATHIMISHA MIAKA 12 TANGU KUZINDULIWA NCHINI

KIPSANG: KILA LA HERI WATAHINIWA WA KSCE

MAHAMKAMA YA UPEO YAATHIMISHA MIAKA 12 TANGU KUZINDULIWA NCHINI

WASIMAMIZI WA KCSE WEBUYE WAONYWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *