#Local News

VIGEZO HITAJIKA KABLA YA KUWA JIJI

Huku Eldoret ikipandishwa hadhi na kuwa jiji la tano nchini, wakenya wamekuwa na maswali kuhusu vigezo vinavyohitajika kabla ya mji kupandishwa hadhi na kuwa jiji.

Kwa mujibu wa marekebisho yaliyofanyiwa sheria ya maeneo ya miji na jiji ya mwaka 2029, miongoni mwa vigezo ni sharti eneo hilo liwe na idadi ya watu zaidi ya elfu 250 katika sensa ya awali, lilwe na uwezo wa kukithi mahitaji ya idadi hiyo ikiwemo maji na mfumo wa maji taka, n ani sharti liidhinishwe na kamati ya ugatuzi katika bunge la seneti.

Katika sensa yam waka 2019, jiji la Eldoret wakati huo likiwa mji, lilikuwa na idadi ya watu 475,716.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

VIGEZO HITAJIKA KABLA YA KUWA JIJI

MASTAA WA OLIMPIKI WATUZWA FEDHA

VIGEZO HITAJIKA KABLA YA KUWA JIJI

RATIBA YA RAGA YATOLEWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *