AFUENI KWA WANAFUNZI WA KAUNTI YA TURKANA BAADA YA UJENZI WA MADARASA
wanafunzi wa shule ya msingi ya kalokol kaunti ya turkana wamepata afueni baada ya kampuni ya kenya pipeline kuwajengea madarasa mapya matatu.
Hii ni baada ya shule hiyo kusombwa na maji baada ya ziwa turkana kufurika kusababisha wanafunzi kusongamana kwenye madarasa na sasa madarasa hayo sasa yanatazamiwa kutumika kufanyia mitihani wa kitaifa.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































