#Local News

AFUENI KWA WANAFUNZI WA KAUNTI YA TURKANA BAADA YA UJENZI WA MADARASA

wanafunzi wa shule ya msingi ya kalokol kaunti ya turkana wamepata afueni baada ya  kampuni ya  kenya pipeline kuwajengea madarasa mapya matatu.

Hii ni baada ya shule hiyo kusombwa na maji baada ya ziwa turkana kufurika kusababisha wanafunzi kusongamana  kwenye madarasa  na sasa madarasa hayo sasa yanatazamiwa kutumika kufanyia mitihani wa kitaifa.

Imetayarishwa na Jones Koikai

AFUENI KWA WANAFUNZI WA KAUNTI YA TURKANA BAADA YA UJENZI WA MADARASA

GAVANA WA NYERI AOMBA MSAMAHA

AFUENI KWA WANAFUNZI WA KAUNTI YA TURKANA BAADA YA UJENZI WA MADARASA

MVUA KUBWA KUANZA LEO, IDARA YAONYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *