NTSA YAWAONYA WAMILIKI WA MAGARI YASIYOFAA BARABARABA DHIDI YA KUYATOA BARABARANI
Mamlaka ya usalama barabara NTSA iewaonya wale wanaopanga kutoa magai yao ya zamani barabarani kwa lengo la kupata pesa msimu huu wa krismasi.
Mkuu wa usalama barabarani Samuel Musumba amesisitiza kuwa hakuna magari yasiyofaa kuwa barabarani ambayo yataruhusiwa kuwa barabartani kwa ajili ya kulinda usalama wa wakenya wanaosafiri
Musumba aidha ameeleza kuwa mamlaka hiyo itaimarisha utendakazi wake na kufanya msako mkali ili kuhakikisha sheria za barabarani zinafuatwa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































