#Local News

MBINU ZA SERIKALI DHIDI YA MAANDAMANO

Wawakilishi wa kike wanaoegemea mrengo wa Kenya Kwanza wameanza kuzuru maeneo mbali mbali wakiwarai vijana kusitisha maandamano na kukubali mazungumzo na Rais William Ruto.

Wakizungumza na Beatrice Adagala wa Vihiga, viongozi hao wamesema maandamano yanaathiri uchumi, wakiwarai wazazi kuwashawishi wanao ili wampe rais muda wa kutekeleza matakwa yao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MBINU ZA SERIKALI DHIDI YA MAANDAMANO

RUTO KUHUTUBIA TAIFA

MBINU ZA SERIKALI DHIDI YA MAANDAMANO

BARINGO KUBORESHA AFYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *