#Local News

RUTO AONYA WABUNGE ‘FISADI’ WATAKAMATWA

Rais William Ruto ameonya kuwa wabunge wanaohusika na ufisadi bungeni watakamatwa, akiibua madai kwamba maseneta hudai hadi shilingi milioni 150 kutoka kwa magavana ilu kuficha Sakata za ufisadi dhidi ya magavana husika.

Akizungumza wakati wa kikao cha pamoja cha wabunge wa vyama vya ODM na UDA, Rais amesema wabunge hudai hongo kabla ya kupitisha au kuangusha miswada bungeni.

Kauli yake imesisitizwa na kinara wa ODM Raila Odinga, anayesema viwango vya ufisadi bungeni vinaibua hofu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO AONYA WABUNGE ‘FISADI’ WATAKAMATWA

ODM, UDA ZATOA AMRI KWA KAMATI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *