KIPSANG: KILA LA HERI WATAHINIWA WA KSCE

Katibu katika wizara ya elimu Belio Kipsang amewahakikishia watahiniwa wa KCSE usalama wao hawa wle ambao wako katika maeneo yanayoshuhudia utovu wa usalama.
Kulingana na Kipsang tayari vitengo mbali mbali vya idar ya usalama vimejitolea kuhakikisha usama wa wanafunzi unadumishwa huku akiwatakia wanafunzi wote kote nchini kila la heri katika mitihani yao.
Imetayarishwa na Janice Marete